Thursday, September 15, 2011

KAZI MPYA YA KUTOKA KWA PRODUCER AMBA AKIMTAMBULISHA MSANII WAKE WESU

Msanii mpya kutoka AMBA RECORDS iliyoka Dar, Msanii anaitwa WESU, sasa ameachia kazi yake ya kwanza kwa ajili ya kumtambulisha. Wesu ni msanii anaetokea Dar.
Wimbo wake unaitwa "NGOJA KUKUCHE". Ni story ambayo inajieleza yenyewe kama ukiiskiliza kwa makini, imewakilisha maisha ya kawaida.

2 comments: