Friday, December 2, 2011

KWAHERI MR. EBBO

Msanii Mr Ebbo afariki dunia leo akiwa mkoani Arusha ambapo inasemekana alikuwa akiumwa katika hospitali ya Mount meru.Mr Ebbo alishawahi kufanya vizuri na wimbo wake wa "mi mmasai"

No comments:

Post a Comment